Katibu
Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) Balozi Dkt.
Moses Kusiluka akiongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kujadili masuala ya
Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Septemba, 2023.
Kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena
Ahmed Said.
Katibu Mkuu Ofisi ya
Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga (kulia) akifuatilia kikao cha Makatibu Wakuu
wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar kujadili masuala ya Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam
Naibu
Makatibu Wakuu Ofisi ya Makamu wa Rais, kulia ni Bw. Abdallah Mitawi – Muungano
na Dkt. Switbert Mkama - Mazingira (wa pili kulia) wakifuatilia kikao cha
Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar kujadili masuala ya Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar
es Salaam
Watumishi
wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakifuatilia kikao cha cha Makatibu Wakuu wa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
kujadili masuala ya Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga akisalimiana na Katibu Mkuu wa
Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,
Bw. Ali Juma wakati wa kikao cha Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kujadili masuala ya
Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu
Mkuu
(Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Mitawi (katikati)
akifurahia jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba
(kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi, Bw. Xavier Daudi kabla
ya kuanza kwa kikao cha Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kujadili masuala ya Muungano
kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam
Katibu
Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) Balozi Dkt.
Moses Kusiluka (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu
Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said (wa
pili kulia), Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga na Makatibu
Wakuu kutoka SJMT na SMZ mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili
masuala ya Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu Kiongozi
wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) Balozi Dkt. Moses
Kusiluka (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi
wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said (wa pili
kulia), Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga na wataalamu
kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili masuala ya
Muungano kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment