Habari za Punde

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Olesugun Obasanjo, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture) pamoja na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (kulia), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesugun Obasanjo pamoja na ujumbe wa  Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar Es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.