Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Akabidhiwa Taarifa ya Timu ya Kuchunguza Tuhuma za Ubadhirifu Manispa ya Kigoma Ujiji

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea taarifa ya timu aliyoiteua ya kuchunguza tuhuma za ubadhirifu wa fedha kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kutoka kwa Mwenyekiti wa timu hiyo, Shedrack Kimaro, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Oktoba 25, 2023.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea taarifa ya timu aliyoiteua ya kuchunguza tuhuma za ubadhirifu wa fedha kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Oktoba 25, 2023. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Deogratius Ndejembi na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa timu hiyo, Shedrack Kimaro. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea taarifa ya timu aliyoiteua ya kuchunguza tuhuma za ubadhirifu wa fedha kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Oktoba 25, 2023. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Deogratius Ndejembi na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa timu hiyo, Shedrack Kimaro.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.