Mkurugenzi Mkuu wa City Collede of Health Ilala Ndg. Shaban Mwanga akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji wa Timu ya Mlandege Abdalla Kitalaso kwa kuibuka mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Chipikizi mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katika mchezo huo timuhizo zimetika sare ya 0-0.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment