Mkurugenzi Mkuu wa City Collede of Health Ilala Ndg. Shaban Mwanga akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji wa Timu ya Mlandege Abdalla Kitalaso kwa kuibuka mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Chipikizi mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katika mchezo huo timuhizo zimetika sare ya 0-0.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment