Mkurugenzi Mkuu wa City Collede of Health Ilala Ndg. Shaban Mwanga akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji wa Timu ya Mlandege Abdalla Kitalaso kwa kuibuka mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Chipikizi mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katika mchezo huo timuhizo zimetika sare ya 0-0.
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA
DODOMA
-
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Januari 2025, ameongoza
Kikao c...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment