Mkurugenzi Mkuu wa City Collede of Health Ilala Ndg. Shaban Mwanga akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji wa Timu ya Mlandege Abdalla Kitalaso kwa kuibuka mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Chipikizi mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katika mchezo huo timuhizo zimetika sare ya 0-0.
TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025
lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa
usaf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment