RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasalimia Wananchi wakati wakipita katika mitaa ya barabara ya muembemimba,
wakiwa katika Tamasha maalum la
matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Wilaya ya
Mjini Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
MWANANCHI wa mtaa wa mikunguni Unguja akiwa
amembeba mtoto wake wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi , akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la
Kitaifa la matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya
Michezani Square Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar, kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasalimia Wananchi wakati wakipita katika mitaa ya barabara ya muembemimba,
wakiwa katika Tamasha maalum la
matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Wilaya ya
Mjini Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
MWANANCHI wa mtaa wa mikunguni Unguja akiwa
amembeba mtoto wake wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi , akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la
Kitaifa la matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya
Michezani Square Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar, kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo
Zanzibar, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya
Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa
mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024 ikiwa ni Shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na (kulia kwa
Rais).Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa
ZABESA Ndg. Said Suleiman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo
Zanzibar, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya
Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa
mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024 ikiwa ni Shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na (kulia kwa
Rais).Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa
ZABESA Ndg. Said Suleiman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanamichezo mbalimbali katika
Tamasha la Mazoezi ya Viungo, baada ya kumaliza matembezi yaliyoazia katika
viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia
katika uwanja New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
yaliyofanyika leo 1-1-2024, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa ZABESA Ndg.Said Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanamichezo mbalimbali katika
Tamasha la Mazoezi ya Viungo, baada ya kumaliza matembezi yaliyoazia katika
viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia
katika uwanja New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
yaliyofanyika leo 1-1-2024, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa ZABESA Ndg.Said Suleiman
WASHIRIKI wa Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya
Viungo Zanzibar likipita katika jukwaa la Viongozi Wakuu wakimalizia matembezi
hayo yaliyoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini
Unguja na kumalizikia katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi
ya pamoja ya viungo, ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi
ya Zanzibar, kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024. Katika
uwanja huo
WASHIRIKI wa Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya
Viungo Zanzibar wakiwa katika mazoezi ya pamoja ya viungo, baada ya kumaliza
matembezi hayo yaliyoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya
ya Mjini Unguja na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kwa
mazoezi ya pamoja yaliyofanyika leo 1-1-2024, ikiwa ni Shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo Zanzibar, lililofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja huo kwa mazoezi ya pamoja ya viungo, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, lililofanyika leo 1-1-2024
No comments:
Post a Comment