Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Uwanja wa Ndege, Kiembesamaki Hadi Mnazi Mmoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Kampuni ya CCECC, inayojenga Barabara hiyo, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Barabara ya Uwanja wa Ndege -Kiembesamaki -Mnazi Mmoja inayojengwa kwa kiwango cha lami (kushoto) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt. Khalid Salum Mohamed, hafla hiyo iliyofanyika katika eneo la Uwanja wa Ndege Wilaya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 8-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

VIONGOZI wa Kampuni ya CCECC inayojenga barabara ya Uwanja wa Ndege – Kiembesamaki hadi Mnazi Mmoja wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wananchi katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Barabara hiyo leo 8-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
WAFANYAKAZI wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliani na Uchukuzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wananchi katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Uwanja wa Ndege –Kiembesamaki hadi Mnazi Mmoja, hafla   hiyo iliyofanyika leo 8-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wananchi katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Uwanja wa Ndege –Kiembesamaki hadi Mnazi Mmoja, hafla   hiyo iliyofanyika leo 8-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.