Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Tanzania (CDF) Jenerali Jacob John Mkunda  alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza  kwa Maadhimisho ya Kilele cha Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar , zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar jana 12-1-2024, mazungumzo hayo yaliyofanyika  katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-1-224
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mkuu wa Majeshi ya  Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Jacob John Mkunda, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar  leo 13-1-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mkuu wa Majeshi ya  Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Jacob John Mkunda, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar  leo 13-1-2024
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.