Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Abdulrahman Kinana amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Mheshimiwa Dkt. Hage G. Geingob. Ndg Kinana amesaini Kitabu hicho katika Ofisi za Ubalozi huo uliopo Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Februari, 2024.(Picha na CCM)
Maonesho ya Pili ya Masaki Health Expo Kufanyika Septemba 21, 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
MAONESHO ya pili ya Masaki Health Expo yanatarajiwa kufanyika Septemba 21,
2025 katika mtaa wa Twiga 06 Masaki Jijini Dar e...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment