Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Abdulrahman Kinana amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Mheshimiwa Dkt. Hage G. Geingob. Ndg Kinana amesaini Kitabu hicho katika Ofisi za Ubalozi huo uliopo Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Februari, 2024.(Picha na CCM)
RAIS DKT.SAMIA APOKEA TUZO MAALUM 'POWER OF 100 WOMEN AWARD' KUTOKA BENKI
YA ACCESS TANZANIA GROUP JIJINI DAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya
Access...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment