Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefungua Moneshi na Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii "The Z Summit 2024" Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024”, uliyofanyika leo 21-2-2024 katika ukumbi wa hoteli hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuyafungua Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Utalii yanayofanyika katika ukumbi  wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, kabla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024”  uliyofanyika leo 21-2-2024, na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa “The Z Summit” ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ndg. Rahim Bhaloo  na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” baada ya kuyafungua maonesho hayo yanayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024 , akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Neela Boutique Hotel  Ndg. Steve Nhigula.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akiuliza swali kwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni Nyerere Tented Camp Bi. Anita Daigle wakati akitembelea Maonesho ya Wadau  wa Sekta ya Utalii  “The Z Summit 2024” baada ya kuyafungua katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024,na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa  “The Z Summit” ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ndg. Rahim Bhaloo na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Kikundi cha “World Vegetable Center “ cha Tunguu Zanzibar  Bi.Amina Adam Makame, wakati akitembelea maonesho  ya Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024”  baada ya kuyafungua katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024.
MWENYEKITI  wa  Kamati  ya “The Z Summit 2024” ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ndg. Rahim Bhaloo  akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024”  unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024, na uliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
WAZIRI wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuufungua mkutano huo, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024
WADAU wa Sekta ya Utalii wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki  Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Mkurugenzi  Mkuu wa KILIFAIR Ndg. Tom Kunkler, baada ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha Gazeti la Sekta ya Utalii kwa mwaka 2024  la “The Z Summit 2024” baada ya kilizindua leo 21-2-2024 wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar  na (kulia kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamati ya “The Z Summit 2024” ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ndg. Rahim Bhaloo.
WADAU wa Sekta ya Utalii wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki  Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024
BAADHI ya Mabalozi Wadogo na Wageni  Waalikwa na Wadau wa Sekta ya Utalii, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Utalii “The Z Summit 2024” unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 21-2-2024















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.