MEONEKANO wa Jengo jipya la Idara ya Uhamiaji
Mkoa wa Mjini Magharibi Jijini Zanzibar, linalojengwa katika eneo la Mazizini
Wilaya ya Mgharibi “B” Unguja lililowekwa Jiwe la Msingi la ujenzi huo na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
ikiwa ni Shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa
Tanzania, hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024.
WASANII wa Kikundi cha Mafunzo Zanzibar wakitowa
burudani ya Ngoma ya Kibati wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la
Ujenzi wa Jengo la Afisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
linalojengwa katika eneo la Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, ikiwa ni Shamrashamra
ya Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo
iliyofanyika leo 19-4-2024.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa
Serikali alipowasili katika viwanja vya
ujenzi wa jengo jipya la Idara ya Uhamiaji la Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,
linalojengwa katika eneo la Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar, ikiwa ni Shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Muungano wa Tanzania, hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Mshauri Elekezi kutoka Wakala wa Majengo Zanzibar Mhandisi Hassan
Haji Mrisho, akitowa maelezo ya Kitaalamu ya ujenzi wa Jengo la Idara ya
Uhamiaji Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, linalojenwa katika eneo la Mazizini
Unguja, ikiwa ni Shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano
wa Tanzania na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad
Masauni,na (kulia kwa Rais) Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania Dkt.Anna
Peter Makalala hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi Mhandisi Mhe. Hamad Masauni (kushoto) kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi
wa Jengo la Idara ya Uhamiaji la Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Zanzibar, ikiwa
ni shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa
Tanzania,hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe
la Msingi la ujenzi wa Afisi ya Uhamiahi ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Jijini Zanzibar, inayojengwa katika eneo la Mazizini Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, ikiwa ni Shamrashamra za Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano
wa Tanzania, hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024
WAFANYAKAZI Wastaafu wa Idara ya Uhamiaji
Tanzania wakifuatila hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Afisi ya
Uhamiaji ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya ujenzi wa jengo
hilo Mazizini Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja Jijini Zanzibar, ikiwa ni
Shamrashamra za Maadhimisho ya sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
iliyofanyika leo 19-4-2024.
BAADHI ya Viongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar
wakifuatilia hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa jengo la Afisi ya
Idara ya Uhamiaji la Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, linalojengwa katika eneo
la Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, wakimsikiliza Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya sherehe za Miaka 60 ya
Muungano wa Tanzania, hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya uwekaji
wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo la Afisi ya Uhamajia Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja, hafla hiyo iliyofanyika leo 19-4-2024 ikiwa ni Shamrashamra
za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi Mhe. Mhandisi Hamad Masouni na Viongozi wengine baada ya kumalizika kwa
hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Afisi ya Uhamiaji ya Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Jijini Zanzibar, iliyofanyika leo 19-4-2024 ikiwa ni
Shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment