RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Kuzindua Jiwe la
Kumbukumbu la Maridhiano Waliyofanyiwa Waafrika Wakati wa Biashara ya Utumwa,
baada ya kumalizika kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby.
ASKOFU Mkuu wa Canterbury Justin Welby akizungumza baada ya kumalizika
kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024 katika Kanisa la
Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Askofu Mkuu wa Kanisa la
Anglikana Tanzania Michael Mndolwa akizungumza na kutowa maelezo mafupi wakati
wa Missa Kuu ya Upatanisho, iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin
Welby, iliyofanyika leo 12-5-2024 katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini
Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mhe Waziri Simbachawene na (kushoto kwa Rais) Mkuu
wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana MustafaRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Kanisa la
Anglikana Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-5-2024,baada
ya kumalizika kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa
Canterbury Justini Welby, iliyofanyika katika Kanisa hilo
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini
Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akizungumza na wakati wa Missa Kuu ya
Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar ,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini
Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akizungumza na wakati wa Missa Kuu ya
Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar ,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini
Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akizungumza na wakati wa Missa Kuu ya
Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar ,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini
Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akizungumza na wakati wa Missa Kuu ya
Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar ,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini
Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akizungumza na wakati wa Missa Kuu ya
Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024
katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar ,
iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Askofu Mkuu wa Canterbury
Justin Welby, baada ya kumalizika kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyofanyika leo
12-5-2024 katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Waumini wa Kanisa la
Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar, wakati akiondoka baada ya kumalizika kwa
hafla ya Missa Kuu ya Upatanisho na kuzindua Jiwe la Kumbukumbu ya Maridhiano
Waliyofanyiwa Waafrika Wakati wa Biashara ya Utumwa
No comments:
Post a Comment