RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mjukuu wa Mwanamapinduzi
Marehemu Hafidh Suleiman. Lukman Iddi Hafidh Suleiman, alipofika nyumbani kwa
marehemu Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-5-2024, kwa
ajili ya kumjulia hali kuwasalimia na (kushoto kwa Rais) Mjane wa Marehemu
Bi.Mtumwa Hussein Farahan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Husseinn Ali Mwinyi akizungumza na kumsalimia Mjane wa
Marehemu Mwanamapinduzi Hafidh Suleiman. Bi.Mtumwa Hussein Farahan, alipofika
nyumbani kwa marehemu Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
3-5-2024,kwa ajili ya kuwasalimia na kuwajulia hali familia.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali Mjane wa
Rais Mstaafu wa Zanzibar Hayati Alhajj Aboud Jumbe Mwinyi. Mama Fatma Mohamed Hassan
(kushoto kwa Rais) alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 3-5-2024, kwa ajili ya kumsalimia na
kujumlia hali yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Mtoto Imran Adim Salum,
baada ya kumaliza kumsalimia Mjane wa Marehemu Rais Mstaafu wa Zanzibar Hayati
Alhajj Aboud Jumbe Mwinyi, Mama Fatma Mohamed Hassan (kulia kwa Rais) alipofika
nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina leo 3-5-2024.
No comments:
Post a Comment