Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Afungua ,kutano wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akivishwana Rais wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CIDM), Kanal  Nilton Rolim Medani ya Ukamanda wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kutambua mchango wake katika michezo  wakati alipofunga Mkutano wa 79 wa  Baraza hilo uliyofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam Mei 17, 2024.  Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika  mkutano huo 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), Kanali Nilton Rolim alipowasili kwenye hoteli ya Johari Rotana Jijini Dsr es salaam  kufunga Mkutano wa Baraza hilo,  Mei 17, 2024.  Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza alipofunga  Mkutano wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), kwenye ukumbi wa hoteli ya  Johari Rotana Jijini Dar es salaam Mei 17, 2024. Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa  Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  alipofunga Mkutano wa Baraza hilo uliyofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam Mei 17, 2024.  Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza alipofunga  Mkutano wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), kwenye ukumbi wa hoteli ya  Johari Rotana Jijini Dar es salaam Mei 17, 2024. Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.