Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza waombolezaji kuaga miili ya watu waliofariki baada ya kudondokewa na jengo katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
GASSHUKU 2025 LA JUNDOKAN TANZANIA LAFANA JIJINI DAR
-
Wanafunzi na wakufunzi wa Jundokan Karate Do Tanzania leo Jumapili, Julai
6, 2025, wameungana katika Gasshuku – yaani semina maalum ya karate –
iliyof...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment