Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Mambo
ya Nje wa Jamhuri ya Angola Mhe. Balozi Téte António wakati akiwasili katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Catumbela nchini Angola leo tarehe 04 Desemba
2024. Makamu wa Rais anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Marekani, Kongo na
Zambia kuhusu Ushoroba wa Lobito (Lobito Corridor), ambapo Tanzania ni mgeni
mwalikwa katika Mkutano huo unaofanyika katika mji wa Lobito nchini Angola
tarehe 04 Desemba 2024.
No comments:
Post a Comment