Wananchi kutoa sehemu mbalimbali ya Unguja wakifuatilia Resi za Ngalawa zilizofanyika katika Bandari ya Kizingo Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar, ikiwa ni Tamasha la Vumba lililofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja.
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment