Wananchi kutoa sehemu mbalimbali ya Unguja wakifuatilia Resi za Ngalawa zilizofanyika katika Bandari ya Kizingo Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar, ikiwa ni Tamasha la Vumba lililofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja.
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA
KASI
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
4 hours ago






No comments:
Post a Comment