Wananchi kutoa sehemu mbalimbali ya Unguja wakifuatilia Resi za Ngalawa zilizofanyika katika Bandari ya Kizingo Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar, ikiwa ni Tamasha la Vumba lililofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment