Wananchi kutoa sehemu mbalimbali ya Unguja wakifuatilia Resi za Ngalawa zilizofanyika katika Bandari ya Kizingo Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar, ikiwa ni Tamasha la Vumba lililofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja.
MADEREVA VIP POLISI WATAKIWA KUIMARISHA ULINZI, KUEPUKA AJALI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Madereva wa viongozi mashuhuri (VIP) wa Jeshi la Polisi wametakiwa kuweka
mbele jukumu lao la msingi la kulinda maisha y...
7 hours ago





0 Comments