Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa Mkoani Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa kwa kuhutubia viongozi mbalimbali pamoja na wajumbe wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma
Matukio mbalimbali wakati wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.