Menu

Saturday, January 25, 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Mgeni Rasmani Katika Mahafali ya 24 ya Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Aj Sumait Chukwani Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ni mgeni rasmin katika Mahafali ya 24 ya Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar, akisalimiana na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Abeid Karume, alipowasili katika viwanja vya Chuo hicho kwa ajili ya Mahafali yaliyofanyika leo 25-1-2025.






 



























No comments:

Post a Comment