RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akibeba jeneza likiwa na mwili wa
Mareheme Maryam Maziku, mzee wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,katika Msikiti wa
Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja, kwa ajili ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti huo 12-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akibeba jeneza likiwa na mwili wa Mareheme Maryam Maziku, mzee wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja, kwa ajili ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti huo 12-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya
Kiislamu katika Sala ya Maiti kumsalia Marehemu Maryam Maziku, mkaazi wa
Kwahani Jimbo la Kwahani Zanzibar, Sala hiyo iliyofanyika katika Msikiti wa
Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya
kumalizika kwa Sala ya Maiti kumsalia Marehemu Maryam Maziku mkaazi wa Kwahani
Jimbo la Kwahani Zanzibar, iliyofanyika katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya
ya Mjini Unguja 12-3-2025.
No comments:
Post a Comment