RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya makaburi ya Mwanakwerekwe
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria maziko ya Marehemu Charles Martin
Hilary, aliyekuwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa
Serikali yaliyofanyika leo 14-5-2025 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
CMSA YAWEZESHA MAMLAKA YA MASOKO YA MITAJI BURUNDI KUPATA MAFUNZO YA
KITALAAM YANAYOTAMBULIKA KIMATAIFA
-
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania imewezesha wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maso...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment