Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Menu
▼
Friday, June 6, 2025
Innalilah wainna ilayhi raajiun Mchezaji wa Zamani wa Malindi na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni Zanzibar Ali Shariff Adolf Amefariki leo
Ali sharif Adolf mchezaji wa zaman wa malindi ameshatangulia mbele ya haki. Muda huu.. maiti bado iko spitali.
Tutajuilishana zaidi kwa kila kinachoendelea. Tumeondokewa Riverside
No comments:
Post a Comment