Menu

Wednesday, August 20, 2025

DKT. DOTO BTEKO KATIKA UZINDUZI WA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA AJENDA YA WANAWAWAKE, AMANI NA USALAM

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa  Nishati, Mhe. Dkt.Doto  Biteko (katikati) akiwa ameshika kitabu cha  Mpango kazi wa Kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama  2025 – 2029  mara baada ya kuuzindua mpango  huo jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2025. Kulia kwake ni  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima na kushoto kwake ni , Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Stergomena Tax.

No comments:

Post a Comment