Habari za Punde

Timu ya Taifa ya Niger Yaibuka Mshindi bao 1-0 Dhidi ya Taifa ya Tsifa ya Tanzania katika Michuano ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026 Mchezo Uliofanyika Uwanja wa New Amaan Complex

 
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Niger  Antony Sosah katika dakika 58 kipindi cha pili cha mchezo huo uliofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, dhidi ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, katika mchezo huo Timu ya Taifa ya Niger imeshinda kwa bao 1-0.





















TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars ' imeshindwa kuutambia uwanja wake wa nyumbani kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Niger , mchezo wa kuwania kufuzu kombe la dunia uliochezwa jana.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.