AFISA WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WAFANYAKAZI ZANZIBAR (ZATUC) MWATUM KHAMIS AKIPOKEA SETI YA JEZI KUTOKA KWA AFISA WA VODACOM TAWI LA ZANZIBAR MUSSA MSABAHA KWA TIMU ZA NETIBOLI ZILIZOCHUKUWA UBINGWA WA KOMBE LA VODACOM MEIDAY. MAKABIDHIANO HAYO YAMEFANYIKA LEO .
NAHODHA WA TIMU YA BANDARI ZANZIBAR ALI NASSOR AKIKABIDHIWA ZAWADI YAO YA SETI YA JEZI NA AFISA MASOKO NA MAUZO WA VODACOM TAWI LA ZANZIBAR SULEIMAN ALI MILANZI
WADAU WA TIMU SASA MAMBO SAFI KWA UZI HUO NDIVYO ANAVYOSEMA NAHODHA MUSSA FUJO WA TIMU YA HABARI AKIWA NA JEZI
AFISA WA MASOKO NA MAUZO WA VODACOM TAWI LA ZANZIBAR SULEIMAN ALI MLANZI AKIMKABIDHI MOJA YA ZAWADI KWA WASHINDI WA KOMBE LA VODACOM MEI DAY NAHODHA WA TIMU YA HABARI MUSSA FUJO NA KATIKATI KATIBU WA ZFA WILAYA YA MJINI NASSOR JAZIRA MAKABIDHIANO HAYO YAMEFANYIKA KATIKA AFISI YA VODACOM DARAJANI
Watu 600 kushiriki semina ya AAT Moro
-
Na MWANDISHI WETU
ZAIDI ya washiriki 600 kutoka ndani na nje ya nchi wanataraji kushiriki
semina maalumu ya uendeleaji na upangaji wa miji inayo kua.
Semi...
Muziki : Rais Dkt Samia amkumbuka nguli Zahir Zorro
-
Na Mashaka Mhando
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amemtumia salamu za faraja na mkono wa heri nguli wa muziki w...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
0 Comments