Usione sipokei simu kama ukinipigia maana umeme hatuna na sina sehemu ya kwenda kuichaji hatuna umeme tokea Jumaane. Na hata ukumbi utadorora katika kupandisha picha za matukio.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
8 hours ago
0 Comments