Kilichonifurahisha katika picha hizi ni kuona jinsi gani akinamama wameweza kufikiria kupumzisha akili kwa kujishughulisha na michezo ambayo huhitaji kutumia mbinu na maarifa kuliko kukaa na kupiga soga au muda mwingi kutazama T.V.
NAIBU WAZIRI LONDO AITAKA WMA KUSIMAMIA SHERIA KULINDA HAKI ZA MLAJI
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ameitaka Wakala wa
Vipimo (WMA) nchini kuongeza uwajibikaji katika kusimamia kikamilifu
utekelezaji wa S...
1 hour ago
1 Comments
Mapara,
ReplyDeleteUwe unatwambia picha hizi zimepigwa eneo gani wakati gani na ikibidi hata majina ya wanaopigwa picha for authenticity reasons, otherwise hizi picha na ujumbe nimezipenda sana.
mdau Misri.