MAFUNDI wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiweka taizi pembezoni mwa barabara ya Mlandege Kinazini ili kuimarisha miundo mbinu ya barabara za mji wa Zanzibar, kama alivyokutwa na mpika picha wakiwa kazini jana. Sehemu kubwa ya barabara za mjini zimefanyiwa mategenezo makubwa ya kuwekwa lami mpya.
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
TCAA YAIMARISHA USALAMA WA ANGA KWA MIFUMO YA KISASA
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema imejizatiti kuendana na
mabadiliko ya teknolojia duniani, ikiwemo matumizi ya Akili Mnemba (AI),
ili ku...
0 Comments