SAGAMAWE la kampuni ya Ujenzi ya MECCO inayojenga barabara mpya ya Bumbwini Mfenesini likiweka sawa kifusi ili kuweza kuweka lami baada ya kujengwa upya na kutanuliwa, kama mdau alivyowakuta wafanyakazi hawa wakiendelea na kazi hiyo wakiwa maeneo ya Fujoni
WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA
-
Sehemu ya Mtambo wa kisasa unaotumika kuhakiki dira za maji. Mtambo huu wa
kidijitali umefungwa katika Jengo la Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA),
Do...
2 hours ago
0 Comments