JAMANI hii ni haki kwa mnyama huyu anayetumiwa kukokota gari na kuwekwa mzigo na wenye mzigo kumpanda bila ya kujali haki za Wanyama, wakiwa wamestarehe wakiendelea na safari yao wakiwa katika barabara ya Kwalamsha
Hata nasi tukiwezeshwa tunaweza si lazima mtuwekee maji kwenye beseni au tunywe chini tunaweza kunywa kwenye mfereji ati. Au mnasemaje?
Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji
Nchini
-
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki,
amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za
mawasili...
35 minutes ago
0 Comments