Zifuatazo ni nafasi za uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, na waliopewa jukumu la kuziongoza:
Katibu Mkuu - Wilson Mukama
Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) - John Chiligati
Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) - Vuai Ali Vuai
Itikadi na Uenezi - Nape Nnauye
Organaizesheni ya NEC - Asha Abdallah Juma
Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje - January Makamba
Katibu wa Fedha na Uchumi - Mwigulu Nchema
STAMICO YAGUSA MIOYO YA WATOTO YATIMA, YATOA MSAADA KUELEKEA SIKUKUU YA IDD
-
Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) limetembelea Kituo cha Watoto Yatima cha Umra Orphanage
jijini Dar...
4 hours ago
0 Comments