MKE wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mama Awena Seif Shariff (kushoto)akimkabidhi Naibu Waziri wa Afya Dk. Sira Ubwa Mamboya msaada wa Vifaa vya Hospitali kwa ajili ya Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Kinamama wa CUF.(Picha na AMKR)
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Yakagua Maendeleo ya Ujenzi wa
Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC)
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetembelewa na Kamati ya Kudumu
ya Bunge ya Miundombinu kwa lengo la kukagua eneo la mradi wa ujenzi na
kuji...
4 minutes ago
0 Comments