WANAFUNZI wakiwa wakipata lifti ya baskeli wakitoka skuli wakikatisha mitaa ya Michezani, uchukuwaji wa abiria kama hivi unaweza kuleta madhara kwa watumiaji wa chombo hicho kimechukuwa kupita uwezo wake.
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA KILIMO IKOLOJIA NA ECHO EAST
AFRICA.
-
Shirika lisilo la kiserikali la Kikristo ECHO East Africa kutoka Ngaramtoni
jijini Arusha limefanya warsha ya mafunzo kwa vitendo kwa waandishi wa
habari k...
1 hour ago
0 Comments