MAMA huyu akipitia magazeti mbalimbali kusoma vichwa na habari katika magazeti ili kujuwa matukio mbalimbali yanayotokea, kujuwa habari haizingatiwi umri, kila mtu ana haki ya kupata habari.
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
15 minutes ago
0 Comments