WANANCHI wakiwa katika harakati za kulizima moto gari aina ya Suzuki Carry, ikiwaka moto katika mtaa wa Michezani kutoka na harakati za kiufundi wakati alipokuwa akirekebisha. hitilafu zilizojitokeza. Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo jana.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago
0 Comments