WANANCHI wakiwa katika harakati za kulizima moto gari aina ya Suzuki Carry, ikiwaka moto katika mtaa wa Michezani kutoka na harakati za kiufundi wakati alipokuwa akirekebisha. hitilafu zilizojitokeza. Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo jana.
WAZABUNI RUVUMA, IRINGA NA NJOMBE WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MODULI YA
RUFAA
-
Na Mwandishi Wetu, Songea na Iringa
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewakutanisha wazabuni na
Taasisi Nunuzi wa mikoa ya Ruvuma, Iringa na Nj...
1 hour ago
0 Comments