WACHEZAJI wa timu ya taifa ya soka Zanzibar 'The Zanzibar Heroes' wakiwasili nchini katika uwanja wa ndege wa Zanzibar jana, kutokea Cairo, Misri, ambako walipiga kambi ya wiki mbili kujiandaa na mashindano ya Chalenji yanayotarajiwa kuanza Novemba 25 jijini Dar es Salaam. (Picha na Haroub Hussein).
FURAHA YATANDA KWA KINAMAMA WA JAI BAADA YA RAMADHANI CHARITY PROGRAM KUTOA
IFTAR
-
Furaha imetanda kwa kinamama wa taasisi ya JAI baada ya kupokea sadaka ya
Iftar kutoka kwa taasisi ya Ramadhani Charity Program 2026, ikiwa ni sehemu
ya ...
1 hour ago
0 Comments