WACHEZAJI wa timu ya taifa ya soka Zanzibar 'The Zanzibar Heroes' wakiwasili nchini katika uwanja wa ndege wa Zanzibar jana, kutokea Cairo, Misri, ambako walipiga kambi ya wiki mbili kujiandaa na mashindano ya Chalenji yanayotarajiwa kuanza Novemba 25 jijini Dar es Salaam. (Picha na Haroub Hussein).
Utalii : Ngorongoro ni Kapu Lililobeba Matunda Matamu, Sasa Tunayauza.
-
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Ephraim Balozi Mafuru kwa niaba ya
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ameongoza timu ya wizara hiyo
kwenye ...
3 hours ago
0 Comments