WACHEZAJI wa timu ya taifa ya soka Zanzibar 'The Zanzibar Heroes' wakiwasili nchini katika uwanja wa ndege wa Zanzibar jana, kutokea Cairo, Misri, ambako walipiga kambi ya wiki mbili kujiandaa na mashindano ya Chalenji yanayotarajiwa kuanza Novemba 25 jijini Dar es Salaam. (Picha na Haroub Hussein).
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
57 minutes ago
0 Comments