Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akibadilishana mawazo na Mwenyekiti mstaafu wa Chama hicho Bwana Msobi Magene alipokwenda kumtembelea na kumjuilia hali nyumbani kwake Mwanza hivi karibuni.
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
Sasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
-
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe
mara...
Michezo : New King Imeichapa Malindi Bao 2-1
-
Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu
ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo
uliyo...
1 Comments
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
ReplyDeleteSasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!