Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Bihindi Hamad Khamis akimkabidhi zawadi mwanafunzi bora Kazija K. Uledi baada ya kuhitimu mafunzo ya mwaka mmoja ya kusarifu na kutengeneza filamu na matumizi ya Computer, katika mahafali iliofanyika juzi katika ukumbi wa Bait el Yamin Malindi mjini hapa.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
7 hours ago
0 Comments