Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha rasmi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, kuwa Katibu Mkuu Kiongozi badala ya Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo, aliyemaliza muda wake. Hafla hiyo ya kumuapisha Balozi Sefue, imefanyika leo Ikulu Dar es Salaam. wa pili (kushoto) kwa Rais ni Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phllemon Luhanjo, akisimamia zoezi hilo. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
NEMC YAKIFUNGA KIWANDA CHA HOOTA KWA KUTOKUZINGATIA TARATIBU ZA KIMAZINGIRA
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Leo Februari 9,
2026 limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA
kilichopo ...
3 hours ago

0 Comments