Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa ZRB leo baada ya ufunguzi wa jengo lao jipya lililopo mazizini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akihutubia baada ya ufunguzi wa Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) liliopo Mazizini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Makungu wakati alipowasili katika ufunguzi wa Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) liliopo Mazizini Unguja
Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) liliopo Mazizini Unguja lililofungulwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein ikiwa ni sehemu ya Sherehe ya kufikia Miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Picha zoite na Hamad Hija, Maelezo
RC TANGA DKT.BATILDA BURIAN ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA MRADI
UJENZI WA BWAWA LA UMWAGILIAJI MKOMAZI
-
Na Oscar Assenga, KOROGWE.
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amemtaka Mkandarasi
anayesimamia mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji la ...
2 hours ago
0 Comments