Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali zilizokodi katika, jengo la ZSSF,wakiwa nje ya Ofisi zao baada ya kutokea Shoti ya Umeme katika jengo hilo lilioko Mwanakwerekwe Unguja jana, katika ajali hiyo hakuna madhara yoyote yaliotokea.
TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA
-
Na Mwandishi wetu - Dodoma.
Tume ya Madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kutoa
mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa wachimbaji hasa vijana ka...
8 minutes ago
0 Comments