Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji
Nchini
-
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki,
amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za
mawasili...
4 hours ago
1 Comments
Hi video si nzuri wa utamaduni wetu na pia haioneshi hali halisi ya visiwa vyetu. Wazungu kila wakati wanapenda kuona habari ambazo sio za kuvutia kuhusu sisi. Bi Kidude na vijana wake wa "nyago" wametuchafulia jina letu kwahiyo mtu akiona hii video ataona kuwa wanawake wa zanzibar hujifungia ndanni na kunywa bombe. Jee mkuu hili ndilo ulilolitaka tuliangalie? Kwa kweli inasikitisha sana kutumia blog yako kwa kuwasaidia watu wanaotaka kutuchafulia jina la nchi yetu, utamaduni wake na watu wake.
ReplyDelete