WANAFUNZI WA MADRASA ,WAALIMU KUTOKA KONDOA WATHIBITISHA KWA MUNGU HAKUNA
KUBWA NGORONGORO
-
Mwenyezi Mungu akitaka jambo litokee hutokea ndivyo ilivyotokea, uumbwaji
wa Kasoko ya Ngorongoro zaidi ya miaka milioni 2.5 iliyopita ambapo mlima
mref...
13 minutes ago
1 Comments
Hi video si nzuri wa utamaduni wetu na pia haioneshi hali halisi ya visiwa vyetu. Wazungu kila wakati wanapenda kuona habari ambazo sio za kuvutia kuhusu sisi. Bi Kidude na vijana wake wa "nyago" wametuchafulia jina letu kwahiyo mtu akiona hii video ataona kuwa wanawake wa zanzibar hujifungia ndanni na kunywa bombe. Jee mkuu hili ndilo ulilolitaka tuliangalie? Kwa kweli inasikitisha sana kutumia blog yako kwa kuwasaidia watu wanaotaka kutuchafulia jina la nchi yetu, utamaduni wake na watu wake.
ReplyDelete