Mpiga picha wa Daily News na mmiliki wa Blog Maarufu ya jamii Issamichuzi.blogspot.com akibadilishana mawazo, mikakati na mpiga picha wa Zanzibar Leo na mmiliki wa blog ya zanzinews.blogspot.com.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
35 minutes ago
.jpg)
.jpg)
2 Comments
wazee, najua mnabadilishana uzoefu, hongereni kwa kazi mnayoifanya!..Mungu awabariki.
ReplyDeleteMzee Othman zungumza na Michuzi akuunganishie matangazo ya biashara uengeze kipato kidogo...
ReplyDelete