Meli ya Kitalii kutoka Nchini Afrika Kusini Clipper Odyssey. ikifanya Safari za Kitalii katika Visiwa vya Unguja na Pemba, kutembelea sehemu za historia, ikiwa na Watalii 58, ikiondoka katika bandari ya Unguja kuendelea na safari yake.
NGORONGORO YAPANDA MITI AINA YA OLORIEN, MITI MAARUFU WAKATI WA TOHARA KWA
VIJANA WA KIMASAI.
-
Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro.
Tofauti na vijana wa mjini hasa wa Dar es Salaam ambao wengi wao hutahiriwa
wakiwa wadogo hospitalini tena kwa ganzi, toha...
55 minutes ago
1 Comments
Hongera zao vijana, najua wamekula 'vichwa' hapo
ReplyDeleteAh..maskini enzi zangu!