Meli ya Kitalii kutoka Nchini Afrika Kusini Clipper Odyssey. ikifanya Safari za Kitalii katika Visiwa vya Unguja na Pemba, kutembelea sehemu za historia, ikiwa na Watalii 58, ikiondoka katika bandari ya Unguja kuendelea na safari yake.
HABARI PICHA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI - IDARA YA SUKI
-
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Idara ya Mambo ya Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndg. Rabia Abdalla Hamid,leo tarehe 28
Januari, 2026...
15 minutes ago
1 Comments
Hongera zao vijana, najua wamekula 'vichwa' hapo
ReplyDeleteAh..maskini enzi zangu!