MENEJA Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Amour Juma Amour (katikati) akimkabidhi mfano wa hundi ya dola za kimarekeni Elfu Tano Katibu Mkuu wa timu ya Jamhuri ya Pemba Omar Ahmed Awadh,kwa ajili ya kushiriki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika,(Picha na Abdallah Masangu).
TAIFA GAS YAKATAA KUPANDISHA BEI YA GESI LICHA YA ONGEZEKO LA SOKO LA DUNIA.
-
KAMPUNI ya Taifa Gas imetangaza kuwa haitapandisha bei ya gesi ya majumbani
(LPG) licha ya kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo kwa takribani asilimia 43
katika ...
2 hours ago
1 Comments
Ama kweli ushindani ni muhimu ktk. kila jambo.
ReplyDeleteyaani PBZ walikua ndio benki pekee kubwa na maarufu Z'BAR hapa lkn. tulikua hatuoni harakati za namna hii, ila saivi wanajikurupusha!