MENEJA Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Amour Juma Amour (katikati) akimkabidhi mfano wa hundi ya dola za kimarekeni Elfu Tano Katibu Mkuu wa timu ya Jamhuri ya Pemba Omar Ahmed Awadh,kwa ajili ya kushiriki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika,(Picha na Abdallah Masangu).
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
5 hours ago
1 Comments
Ama kweli ushindani ni muhimu ktk. kila jambo.
ReplyDeleteyaani PBZ walikua ndio benki pekee kubwa na maarufu Z'BAR hapa lkn. tulikua hatuoni harakati za namna hii, ila saivi wanajikurupusha!