Wanafunzi wa Skuli ya Bububu wakitembea kurudi nyumba baada ya kumaliza masomo yao, inabidi kutumia usafiri huo kwa kukataliwa kupanda gari za daladala kwa kuwa nauli zao ndogo zilizowekwa na Serikali mwanafunzi anastahili kulipa shilingi 200/= na abiria wa kawaida hulipa shilingi 300/= inabidi kutumia usafiri huo wa kurudi nyumbani baada ya masomo yao.
NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA
YANAYOFICHWA
-
Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata
huduma muda wote
Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini
WA...
1 hour ago
0 Comments