Mfanyakazi wa Manispaa ya Zanzibar akifanya usafi katika soko kuu la darajani sehemu ya kuuzia mbogamboga, kama alivyokutwa na mdau wa blogo hii akifanya usafi huu leo mchana.kuimarisha usafi wa mazingira ya soko hilo.
Hili la chakula shuleni, wazazi na wadau tuungane kwa pamoja
-
Chakula, mavazi na malazi ni mahitaji muhimu ya binadamu (basic needs). Ni
mahitaji ambayo maisha ya binadamu hayawezi kwenda bila kuwa nayo, ndiyo
maana ...
20 minutes ago
0 Comments