Mdau wa Habari Mhe Farouk Karimu akijivinjari kujisomea habari kutoka katika gazeti la Zanzibar Leo, akiwa katika duka lake la Masomo Bookshop, Empire. Akitaka kujuwa habari mbalimbali zinazotokea katika usiku wa jana na ulimwenguni kote kupitia magazeti.
PPRA Yatoa Elimu ya Mfumo wa NEST kwa Waumini KKKT Bunju B
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewajengea uwezo na uelewa
waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzan...
19 minutes ago
1 Comments
Mara nyingi naona unamwita Farouk Karim kama mdau wa habari. Jee huyu ni mwandishi wa habari aliesomea au ni mtu mfuatiliaji wa habari?
ReplyDeleteShukran.